WAHUDUMU WA AFYA KAUNTI YA LAMU WATISHIA KUFANYA MAANDAMANO BAADA YA SIKU SABA.
Wahudumu wa afya katika kaunti ya lamu wametoa makataa ya siku saba kwa serikali ya kaunti ya Lamu, wakiitaka kushughulikia changamoto zote wanazopitia la sivyo watasusia kazi hadi pale matakwa yao yatakapo shughulikiwa. Aidha wamesema kuwa wanapitia changamoto nyingi katika kazi yao, hivyo kuitaka serikali ya Kaunti ya Lamu kuwaskiliza na kutekeleza wajibu wake. Wahudumu […]
WAHUDUMU WA AFYA KAUNTI YA LAMU WATISHIA KUFANYA MAANDAMANO BAADA YA SIKU SABA. Read More »



