Kaunti

SERIKALI YA KITAIFA YATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA USAFIRI NA UMILIKI WA ARDHI KAUNTI YA TAITA TAVETA.

Mbunge wa Taveta kaunti ya Taita Taveta, John Bwire ametoa wito kwa serikali ya kitaifa kutatua changamoto ya usafiri na utata wa umiliki wa ardhi eneo bunge hilo. Kulingana na kiongozi huyo, kuna haja ya serikali ya kitaifa kuweka lami barabara Taveta – Njukini, ili kuwanusuru wananchi wa eneo hilo changamoto za usafiri, zinazo shuhudiwa

SERIKALI YA KITAIFA YATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA USAFIRI NA UMILIKI WA ARDHI KAUNTI YA TAITA TAVETA. Read More »

KUNA HAJA YA MIRADI YA MAENDELEO ENEO BUNGE LA CHANGAMWE KAUNTI YA MOMBASA KUKAMILISHWA.

Mbunge wa Changamwe kaunti ya Mombasa, Omar Mwinyi amemtaka gavana wa kaunti hiyo Abdulswamaad Shariff, kuwajibika katika kuwafanyia maendeleo wakaazi wa eneo bunge la Changamwe. Mwinyi amelalamikia suala la kutokamilika kwa idadi kubwa ya miradi ambayo, ilianzishwa na serikali ya kaunti ya Mombasa katika eneo hilo la Changamwe hadi kufikia sasa. Akihutubia wananchi katika eneo

KUNA HAJA YA MIRADI YA MAENDELEO ENEO BUNGE LA CHANGAMWE KAUNTI YA MOMBASA KUKAMILISHWA. Read More »