Kaunti

USALAMA KUIMARIKA KATIKA KIJIJI CHA KIRAHO

Usalama unatarajiwa kuzidi kuimarika katika kijiji cha kiraho, wadi ya mji wa malindi kaunti ya Kilifi baada ya mwakilishi wadi wa eneo hilo Rashid Odhiambo kuingilia kati Ukukarabati wa taa la mulika mwizi lililokuwa limeharibika kwa takriban miaka mitatu. Akizungumza baada ya kufanikisha ukarabati huo alasiri ya leo Odhiambo amethibitisha kuwa amekuwa akifanya vikao vya […]

USALAMA KUIMARIKA KATIKA KIJIJI CHA KIRAHO Read More »

MBUNGE WA KILIFI KASKAZINI OWEN YAA BAYA ATOA WITO KWA WAZAZI KUSHIRIKIANA NA WALIMU KAUNTI YA KILIFI.

Wazazi kaunti ya Kilifi wametakiwa kushirikiana na walimu ili kuhakikisha kuwa wanao wanafanikiwa kwenye masuala ya elimu. Ni wito ambao umetolewa na Mbunge wa Kilifi Kaskazini kaunti ya Kilifi Owen Yaa Baya, ambaye amesema kuwa mafanikio ya wanafunzi hutegemea pakubwa jinsi ambavyo, wazazi huunga mkono utendakazi wa walimu shuleni. Owen vile vile amewataka wazazi kufuatilia

MBUNGE WA KILIFI KASKAZINI OWEN YAA BAYA ATOA WITO KWA WAZAZI KUSHIRIKIANA NA WALIMU KAUNTI YA KILIFI. Read More »

WAZAZI KAUNTI YA TANA RIVER WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAO WANAREJEA SHULENI MWAKA HUU 2025.

Wazazi eneo la Kilelengwani kule kaunti ya Tana River wametakiwa kuhakikisha kuwa wanao wanarejea shuleni kwa muhula wa kwanza mwaka huu wa 2025. Akitoa wito huo chifu wa eneo hilo Jilo Mohameed Dhadho, amesema kuwa wazazi wanapaswa kuwarudisha watoto wao maeneo ambayo wamekuwa wakisoma kwani wengi wao walisafiri maeneo ya mbali msimu wa likizo ndefu

WAZAZI KAUNTI YA TANA RIVER WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAO WANAREJEA SHULENI MWAKA HUU 2025. Read More »