USALAMA KUIMARIKA KATIKA KIJIJI CHA KIRAHO
Usalama unatarajiwa kuzidi kuimarika katika kijiji cha kiraho, wadi ya mji wa malindi kaunti ya Kilifi baada ya mwakilishi wadi wa eneo hilo Rashid Odhiambo kuingilia kati Ukukarabati wa taa la mulika mwizi lililokuwa limeharibika kwa takriban miaka mitatu. Akizungumza baada ya kufanikisha ukarabati huo alasiri ya leo Odhiambo amethibitisha kuwa amekuwa akifanya vikao vya […]
USALAMA KUIMARIKA KATIKA KIJIJI CHA KIRAHO Read More »



