Kimataifa

TUZO ZA MCHEZAJI BORA WA CAF KUFANYIKA USIKU WA LEO

Tuzo za mchezaji bora wa soka zinatarajiwa kufanyika usiku wa leo (Jumatatu) katika ukumbi wa Palais des Congrès in Marrakech, Morocco na kwa wakati mwengine zimevutia washindani wakali. Victor Osemhen mchezaji raia wa Nigeria pamoja na klabu ya Napoli kule Italia ambaye msimu jana aliisaidia klabu yake kushinda ubingwa wa taji hilo baada ya miaka […]

TUZO ZA MCHEZAJI BORA WA CAF KUFANYIKA USIKU WA LEO Read More »

PEP GUARDIOLA KUKOSA MECHI MBILI ZA EPL

Mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola anatarajiwa kukosa mechi mbili zijazo baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye mgongo wake hii leo. Pep Guardiola ambaye amekuwa akikabiliwa na maumivu ya mgongo kwa muda ameachiliwa na klabu yake kufanyiwa upasuaji. Kulingana na taarifa ambayo imeachiliwa na Manchster City leo ni kuwa Guardiola atakosa mechi ya Sheffield United pamoja

PEP GUARDIOLA KUKOSA MECHI MBILI ZA EPL Read More »