Kimataifa

TODD BOEHLY ATOA SABABU YA KUMFUTA KAZI MKUFUNZI THOMAS TUCHEL

    Mmiliki mpya wa klabu ya Chelsea, Todd Boehly amesema kwamba uamuzi wa kumfuta kazi mkufunzi Thomas Tuchel hauhusiani kabisa na kupoteza kwa mechi ya klabu bingwa dhidi ya Dynamo Zagreb wiki iliyopita. Bilionea huyo wa Marekani amesema kwamba kama klabu walikuwa na malengo ya kuanza safari mpya ya  kukarabati kikosi hicho kuanzia juu […]

TODD BOEHLY ATOA SABABU YA KUMFUTA KAZI MKUFUNZI THOMAS TUCHEL Read More »

GRAHAM POTTER AKUBALI KUWA MKUFUNZI MPYA WA CHELSEA

Mkufunzi wa klabu ya Brighton inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza Graham Potter amekubali kuwa mkufunzi mpya wa klabu ya Chelsea baada ya kufutwa kazi kwa mkufunzi wa klabu hiyo Thomas Tuchel kutokana na matokeo mabay tangia kuanza kwa msimu huu. Wamiliki wa klabu hiyo ya darajani Stamford bridge tayari wanaripotiwa kufanya mazungumzo na mkufunzi huyo

GRAHAM POTTER AKUBALI KUWA MKUFUNZI MPYA WA CHELSEA Read More »