Kimataifa

GARETH SOUTHGATE ALAUMU KIKOSI CHAKE KWA KUANDIKISHA MATOKEO HASI

Mkufunzi wa timu ya taifa ya Uingereza, Gareth Southgate, amekitaka kikosi chake kuonyesha uwezo na kiwango zaidi kwenye mechi na mashindano yajayo. Kocha Southgate amesema hayo  wakati akizungumzia maandalizi ya mchezo wa mwisho wa Ligi ya Mataifa Ulaya dhidi ya Ujerumani mchezo utakaochezwa siku ya leo. Uingereza  walishuka daraja kwenye mechi za Ligi ya Mataifa

GARETH SOUTHGATE ALAUMU KIKOSI CHAKE KWA KUANDIKISHA MATOKEO HASI Read More »