LEICESTER CITY YAFUFUKA KWA KISHINDO
Klabu ya Leicester City sasa imefufuka kunako Ligi Kuu nchini uingereza kufuatia kuifunga bao 4-0 timu mpya kwenye Ligi msimu huu Nottingham Forest mchezo wa Ligi uliochezwa dimba la King Power. Leicester City ambayo inanolewa na kocha Brendan Rodgers ilikuwa inavuta mkia kwenye msimamo wa Ligi kuu ambapo sasa ushindi ambao wameupata katika mchezo wa […]
LEICESTER CITY YAFUFUKA KWA KISHINDO Read More »



