ARSENAL YAPAA KILELENI MWA JEDWALI KWA KUIPIGA LIVERPOOL
Washika mtutu wa London waite Arsenal sasa wamerudi kileleni tena kwa kufuatia kusajili ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya majogoo wa Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu Uingereza mtanange uliopigwa dimba la Emirates. Saka ambaye aliibuka kuwa mchezaji bora kwenye mechi hiyo akiwa anavalia jezi namba 7 alifunga magoli mawili kwenye mechi hiyo moja akimalizia […]
ARSENAL YAPAA KILELENI MWA JEDWALI KWA KUIPIGA LIVERPOOL Read More »



