Kimataifa

ARSENAL YAPAA KILELENI MWA JEDWALI KWA KUIPIGA LIVERPOOL

Washika mtutu wa London waite Arsenal sasa wamerudi kileleni tena kwa kufuatia kusajili ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya majogoo wa Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu Uingereza mtanange uliopigwa dimba la Emirates. Saka ambaye aliibuka kuwa mchezaji bora kwenye mechi hiyo akiwa anavalia jezi namba 7 alifunga magoli mawili kwenye mechi hiyo moja akimalizia […]

ARSENAL YAPAA KILELENI MWA JEDWALI KWA KUIPIGA LIVERPOOL Read More »

LIVERPOOL YAITANDIKA RANGERS KATIKA DIMBA LA ANFIELD KUNAKO UEFA

Klabu ya Liverpool inayoongozwa na mkufunzi Jergen Klopp imefanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya klabu ya Rangers kutoka Scotland katika mtanange wa klabu bingwa Ulaya mchezo uliopigwa katika dimba la Anfield. Kikosi hicho kimekuwa na wakati mgumu msimu huu kupata matokeo hasa kwenye Ligi Kuu nchini Uingereza lakini waliweza kuibana Rangers na

LIVERPOOL YAITANDIKA RANGERS KATIKA DIMBA LA ANFIELD KUNAKO UEFA Read More »