TUTAWAKILISHA TANA RIVER VYEMA, MKUFUNZI JILLO AAHIDI
Mkufunzi mkuu wa kikosi cha Sango Sportiff klabu pekee inayowakilisha kaunti ya tana river katika ligi ya daraja la pili kitaifa amekiri kwamba matayarisho duni ndio chanzo cha kuwa na mwamnzo mbaya msimu huu. Mkufunzi Righo Jillo wakati akizungumza na tama la spoti uwanjani Alaskan baada ya kupiga sare tasa dhidi ya klabu ya Yanga […]
TUTAWAKILISHA TANA RIVER VYEMA, MKUFUNZI JILLO AAHIDI Read More »



