Michezo

VIONGOZI WA MAGARINI WASHAURIWA KUUNGANA KUIMARISHA MICHEZO

Wito umetolewa kwa viongozi wa eneo bunge la magarini kaunti ya Kilifi kuungana ili kuimarisha michezo katika eneo bunge hilo. Ukosefu wa udhamini unasalia kuwa donda sugu katika soka la Magarini jambo ambalo linakosesha motisha baadhi ya wachezaji. Akizungumza na tama la spoti jana baada ya mechi ya daraja la pili kitaifa mkufunzi mkuu wa […]

VIONGOZI WA MAGARINI WASHAURIWA KUUNGANA KUIMARISHA MICHEZO Read More »

MASON GREEENWOOD APATA UHURU BAADA YA MASHTAKA DHIDI YAKE KUONDOLEWA

Ni rasmi sasa kinda wa timu ya taifa ya uingereza pamoja na klabu ya Manchester united mwite Mason Greenwood ameondolewa mashtaka yote yanayofungamana na ubakaji  yaliyowasilishwa kortini dhidi yake. Mason Greenwood mwenye umri wa miaka 21  alikamatwa mapema mwaka jana baada ya madai kuibuka kwamba amehusika kwenye shambulio la ubakaji hasa baada ya  picha na

MASON GREEENWOOD APATA UHURU BAADA YA MASHTAKA DHIDI YAKE KUONDOLEWA Read More »

MATHARE UNITED YAMFUTA KAZI BONIFACE OMONDI

Klabu ya Mathare United imethibitisha kumfuta kazi mkufunzi Boniface Omondi kufuatia muendelezo wa matokeo mabaya tangia kuanza kwa msimu huu. Chini ya uongozi wa Omondi Mathare United inasimama katika nafasi ya mwisho ligini na alama nne pekee wakiwa wamepoteza mechi nane, kupiga sare mara moja na kupata ushindi mara moja pekee. Kufuatia kufutwa kwa mkufunzi

MATHARE UNITED YAMFUTA KAZI BONIFACE OMONDI Read More »