CHAPISHO ZA KUPUNGUZA VURUGU MAGARINI – FKF
Shirikisho la soka la FKF eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi linapendekeza vilabu vya soka vya ligi hiyo kuchapisha maneno ya ‘No Violence’ katika shati za sare zao. Kulingana na katibu mkuu wa soka la Magarini Emmanuel Kazungu ni kwamba maneno ya chapisho hizo itasaidia kusambaza ujumbe wa kuhamasisha jamii pamoja na vilabu kupunguza […]
CHAPISHO ZA KUPUNGUZA VURUGU MAGARINI – FKF Read More »



