BINGWA WA LIGI KWALE KUPATA 400K
Ujio wa udhamini wa ligi ya FKF kaunti ya kwale unazidi kuleta matumaini kwa vilabu vitakavyoshiriki ligi hiyo msimu ujao. Halmashauri ya Bandari KPA wiki hii ilitangaza udhamini wa shilingi milioni 18 kwa ligi ya kaunti hiyo kuelekea msimu ujao. Kulingana na mwenyekiti wa FKF tawi la kaunti ya Kwale Hamisi Mwakoja ni kuwa udhamini […]
BINGWA WA LIGI KWALE KUPATA 400K Read More »



