SAUDI ARABIA KUANDAA ‘WC’ 2034
Taifa la Saudi Arabia ndio taifa pekee kwa sasa ambalo limewasilisha ombi la kuwa mwenyeji wa kombe la dunia la FIFA 2034, itakuwa mwenyeji wa mashindano hayo ya timu 48 katika viwanja kumi na tano katika miji mitano, ikiwa ni pamoja na viwanja vinane katika mji mkuu. Tangazo linajiri siku chache baada ya ufalme huo […]
SAUDI ARABIA KUANDAA ‘WC’ 2034 Read More »



