JUNIOR FC YALENGA KUFANYA USAJILI
Klabu ya Junior Fc kutoka kaunti ya Taita Taveta inalenga kufanya usajili kukiimarisha kikosi chao katika ligi ya daraja la pili kuelekea msimu ujao. Kulingana na kocha wa klabu hiyo Zablon Mwale ni kuwa klabu hiyo iko kwenye mazungumzo na wachezaji watatu ambao watawasajili kabla ya msimu ujao kuanza. Amedokeza kuwa baadhi ya wachezaji hao […]
JUNIOR FC YALENGA KUFANYA USAJILI Read More »



