VILABU VIKUBWA ‘EPL’ VYAPIGWA HUKU WAKUFUNZI WAKIFUTWA
Mkufunzi wa klabu ya Chelsea Graham Potter amefutwa kazi rasmi na klabu hiyo kutokana na muendelezo wa matokeo mabaya katika ligi kuu nchini uingereza. Hatua hiyo ilijiri saa chache baada ya Chelsea kutandikwa kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya klabu ya Aston Villa. Mkufunzi huyo ambaye amekaa Chelsea kwa kipindi cha chini ya miezi 7 […]
VILABU VIKUBWA ‘EPL’ VYAPIGWA HUKU WAKUFUNZI WAKIFUTWA Read More »



