Paps Mkare

SOKA LA LAMU LALIA

Huenda hali ya soka katika kaunti ya Lamu ikazidi kuwa mbaya kutokana na kusambaratika kwa utendakazi wa shirikihso la soka la fkf katika gatuzi hilo. Vilabu vingi  vya soka Lamu vimeshindwa kuendelea na mashindano ya shirikihso kutokana na gharama kubwa ya kusimamia mechi zao. Hivi punde zaidi ni klabu ya Deep Sea na King Loyal […]

SOKA LA LAMU LALIA Read More »