Paps Mkare

GOR MAHIA KUINGIA SOKONI

Mabingwa mara ishirini na moja wa Ligi Huku hapa Nchini Gormahia, wapo kwenye Harakati za mwisho za kumsajili mshambuliaji wa Uganda Charles Bbaale Dirisha la uhamisho litakapofunguliwa siku ya Ijumaa, wakipania kuimarisha kikosi chao Bbaale akitamatisha mkataba wake wa misimu miwili na vigogo wa Rwanda Rayon Sports. Mshambuliaji Huyo alijiunga na Rayon Sports mwaka Juzi

GOR MAHIA KUINGIA SOKONI Read More »