HAMTASHIRIKI MASHINDANO MAKUBWA AFRIKA BILA WANAWAKE ZENU – CAF
Shirikisho la soka barani Afrika Caf limetangaza kwamba haitaruhusu klabu yoyote kushiriki katika mashindano ya shirikisho hilo bila kuwa na klabu ya kinadada inayoshiriki katika ligi inayotambulika katika taifa wanalotoka. Taarifa hiyo sasa inaiweka Gor Mahia lakini pia klabu ya Tusker roho juu pamoja na kuwa na tumbo joto kwani klabu hizo kwa sasa ziko […]
HAMTASHIRIKI MASHINDANO MAKUBWA AFRIKA BILA WANAWAKE ZENU – CAF Read More »



