Paps Mkare

URUGUAY NDIO MABINGWA WA DUNIA KATIKA MASHINDANO YA U20

Timu ya taifa ya Uruguay ndio mabingwa katika mashindano ya kombe la  dunia ya soka nchini Argentina. Uruguay wamesajili ubingwa huo baada ya kuilaza italia kwa kichapo cha bao 1-0, bao ambalo limefungwa na Luciano Rodriguez katika dakika ya 86. Kwengine ni kwamba timu ya taifa ya Israel jana walisajili ushindi wa mabao 3-1 dhidi […]

URUGUAY NDIO MABINGWA WA DUNIA KATIKA MASHINDANO YA U20 Read More »

HATA YOUNG BULLS WAKIPANDA TUTAJIVUNIA, NI TIMU YA MALINDI PIA – BILL MWANGEMI

Mkufunzi wa klabu ya Malindi Progressive Bill Mwangemi anasema kwamba ako na matumaini makubwa kuwa klabu yake bado iko na nafasi ya kufuzu kupanda daraja na kushiriki katika ligi ya National Super League msimu ujao. Kulingana na mwangemi ni kwamba licha ya changamoto ya kukosa muendelezo wa matokeo bora msimu huu hasa baada ya wachezaji

HATA YOUNG BULLS WAKIPANDA TUTAJIVUNIA, NI TIMU YA MALINDI PIA – BILL MWANGEMI Read More »