FAITH KIPYEGON APATA NYUMBA BAADA YA KUVUNJA REKODI
Rais wa Kenya William Samoei Ruto amempongeza mwanariadha Faith Kipyegon kwa kuandikisha rekodi ya kimataifa katika mbio za mita 1500 katika mashindano ya Florence Diamond League na baadaye kuvunga rekodi nyingine ya 5000 katika mashindano ya Paris Diamond League. ”Faith ni mkenya mwenye imani sana. Imani yake ilimfanya kushinda na kuandikisha rekodi za dunia. Nampongeza […]
FAITH KIPYEGON APATA NYUMBA BAADA YA KUVUNJA REKODI Read More »



