Paps Mkare

YOUNG BULLS BADO ‘HAIRIDHISHI’ VIWANJANI

Klabu ya Young Bulls inayoongozwa na mkufunzi Ali Said Gaucho inazidi kuandikisha matokeo yasioridhisha hasa katika mechi za ugenini kulingana na mashabiki wao. Jana ilipiga sare ya bao 1-1 dhidi ya Zetech Titans katika uwanja wa Gems Cambrige jijini Nairobi. Kukosekana kwa matokeo mazuri katika klabu hiyo kunadhidirika hasa baada ya mshambuliaji wao matata Alex […]

YOUNG BULLS BADO ‘HAIRIDHISHI’ VIWANJANI Read More »

MATAYARISHO YA MASHINDANO YA BODABODA YANANOGA MALINDI

Muungano wa bodaboda mjini Malindi kaunti ya Kilifi unazidi unazidisha maandalizi ya mashindano ya soka yatakayofanyika siku ya jumamosi katika uwanja wa Alaskan. Ni mashindano ambayo yanalenga kuhamasisha wafanya biashara ya bodaboda kuhusu sheria za barabarani, usalama wao pamoja na kuwahamasisha kuhusu bishara hiyo ambayo imeajiri vijana wengi hapa nchini. Akizungumza na Tama la Spoti

MATAYARISHO YA MASHINDANO YA BODABODA YANANOGA MALINDI Read More »