RUDIGER NA ALABA WAPONA, VINI AKIPANGA KUBAKI REAL
Beki wa Ujerumani Antony Rudiger pamoja na David Alaba ni kati ya wachezaji wa Real Madrid ambao wanatarajiwa kurejea kikosini baada ya kumaliza kuuguza majeraha yao. Wachezaji hao walikosekana katika mechi ya mchujo dhidi ya Manchster City hiyo jana na kumfanya kocha wa Real Don Carlo Ancelloti kumtumia beki mchanga Raul Asencio raia wa Uhispania. […]
RUDIGER NA ALABA WAPONA, VINI AKIPANGA KUBAKI REAL Read More »



