Paps Mkare

ODEMBA KUFUTWA KAZI

Shirikisho la soka hapa Nchini FKF linapanga kumng’atua Beldine Odemba kama mkufunzi wa Timu ya Taifa ya Kina dada Harambee starlets, kufuatia sare tasa dhidi ya Tunisia kwenye mechi ya mkondo Wa Kwanza ya kufuzu kwa Wafcon ya mwaka ujao iliyopigwa ugani Ulinzi sports complex. Odemba alipokea cheche kutoka kwa mashabiki na wachanganuzi WA soka […]

ODEMBA KUFUTWA KAZI Read More »

ALFRED CHOLE AELEZA SABABU ZA KUCHANA NA MOFA

Alfred Chole Mkufunzi wa MOFA Klabu inayamilikiwa na Nahodha wa Harambee Stars Michael Olunga, ameeleza sababu zake za Kujihuzulu, kufuatia Kipigo cha Magoli mawili sufuri na Mombasa United siku ya Jumatatu huko Serani. Chole ambaye alichukua Hatamu hio mwanzoni mwa msimu Huu alipoachana na APS Bomet, ameelezea kuwepo na mazingira Magumu ya Kufanya kazi kitu

ALFRED CHOLE AELEZA SABABU ZA KUCHANA NA MOFA Read More »