Paps Mkare

BULLS YAMSAINI TUVA

Sajili mpya ya klabu ya Young Bulls FC nazungumzia Bruno Tuva kutoka Kathama FC aliisaidia waajiri wake wapya kusajili angalau alama moja nyumbani katika uwanja wa Alaskan jana. Katika kipindi cha pili Tuva alipata nafasi ya kuingia kambani na kusawazisha bao lililokuwa limefungwa kipindi cha kwanza na Equity na kuwafanya Bulls kuondoa uwanjani hapo na

BULLS YAMSAINI TUVA Read More »