Paps Mkare

KENYA KUZIDISHA MAANDALIZI YA AFCON

Raisi wa Shirikisho la Soka Hapa Nchini Hussein Mohammed, Ameelezea Mipango Kabambe  waliyoieka kama Shirikisho Kuhakikisha ya Kwamba timu ya Taifa Ya wachezaji Wasiozidi umri wa Miaka Ishirini, wanajitayarisha Viliovyo Kuelekea kwenye Mashindano ya AFCON Aprili mwaka Huu Huko Ivory Coast. Mipango Hiyo iliyowekwa na  FKF Ni kuhakikisha kwamba Uchaguzi wa Wachezaji Unafanywa Vizuri, Ukijumuisha

KENYA KUZIDISHA MAANDALIZI YA AFCON Read More »

SANGO SPORTIFF YAZIDI KUBOREKA

Mkufunzi wa klabu ya Sango Sportiff  inayoshiriki ligi ya Divisheni ya Pili Coach Rigo, ameelezea kwamba  kurekebisha makaosa  waliyofanya kwenye mechi yao Iliyopita, Ndio Kulichangia Ushindi wao Mnono Dhidi ya Mariakani Fc, akiusifia Mchezo Mzuri ulioonyeshwa na Upande huo wa Mkufunzi Hassan Seif. Sportiff waliicharaza Mariakani magoli Manne bila jawabu kwao nyumbani, Timu Hio sasa

SANGO SPORTIFF YAZIDI KUBOREKA Read More »