KOGALO YAMSAINI KOCHA MPYA
Mabingwa Watetezi wa Ligi kuu hapa Nchini Gor Mahia, wamemtangaza Sinisa Mihic kama Mkufunzi wao mpya akivivaa viatu vya Zedekiah Zico Otieno, aliyekua akihudumu kama mKufunzi wa Muda tangu Novemba mwaka Jana Leonardo Neiva Alipotimuliwa. Mihic ana uzoefu wa kufanya kazi barani Africa, akiwahi kua mkufunzi msaidizi katika klabu ya Al Merrikh huko Sudan mwaka […]
KOGALO YAMSAINI KOCHA MPYA Read More »



