ROONEY AFUTWA
Mkufunzi mkuu wa klabu ya Birmingham City Wayne Rooney amefutwa kazi rasmi na klabu hiyo kutokana na msururu wa matokeo duni katika ligi ya daraja la Championship msimu huu. Rooney amesajili ushindi mara mbili pekee katika mechi 15 alizowaongoza Birmingham City na kuipeleka klabu hiyo kutoka nafasi ya 6 alipoajiriwa hadi sasa nafasi ya 20 […]



