BODABODA WAOMBA MASHINDANO ZAIDI KUFANYIKA MALINDI
Wafanya biashara wa boraboda mjini Malindi wameomba waandalizi wa mashindano ya soka kuyafanya mara kwa mara kwani jambo hilo limechania pakubwa kuleta utangamano katika jamii. Akizungumza na tama la spoti Hezron Mwaka ambaye ni kocha wa timu ya bodaboda ametoa wito huo baada ya mechi ya kirafiki ilochezwa wikendi ilopita dhidi ya kikosi cha maafisa […]
BODABODA WAOMBA MASHINDANO ZAIDI KUFANYIKA MALINDI Read More »



