Paps Mkare

HII NDIO SABABU SUPERSPORT HAITAONYESHA AFCON

Supersport ambao wanaongoza katika upeperushaji wa habari za michezo ya kimataifa hasa soka wametangaza rasmi leo kuwa hawatakuwa wakipeperusha moja kwa moja mashindano ya Afcon yanayoanza tarehe 13 mwezi huu wa Januari. Wamiliki Multichoice wametoa taarifa leo kuwa kukosa ruhusa ya kupeperusha matangazo hayo ndio chanzo kikubwa cha kutotangaza soka hilo kubwa la bara afrika. […]

HII NDIO SABABU SUPERSPORT HAITAONYESHA AFCON Read More »

ESSE AKIDA KUFANYA MASHINDANO YA SOKA KILA MWAKA KILIFI

Mchezaji wa timu ya taifa ya Harambe Starlets Essie Akida anasema kwamba mafanikio alopata kwenye soka si hapa nchini pekee bali hata kimataifa yanampa motisha wa kupenda kurudisha mkono kwajamii ilomkuza. Akida ambaye kwa sasa anachezea klabu ya PAOK Thessaloniki katika taifa la ugiriki ameyasema hayo baada ya kuandaa mashindano ya soka mwezi December mwaka

ESSE AKIDA KUFANYA MASHINDANO YA SOKA KILA MWAKA KILIFI Read More »