MPUNGA WA AFCON WAONGEZEKA
Shirikisho la soka barani Afrika CAF limeongeza hela za kushindaniwa katika makala ya kombe la Afcon mwaka huu yatakayofanyika nchini Ivory Coast kwa asilimia arubaini. Mwaka huu bingwa wa kombe la Afcon atakwenda nyumbani na dola za kimarekani milioni 7 sawa na Bilioni 1.1 za Kenya huku nafasi ya pili akijishindia dola milioni 4 sawa […]
MPUNGA WA AFCON WAONGEZEKA Read More »



