Paps Mkare

KLABU YA VIHIGA BULLETS MASAIBU TELE LICHA YA KUDHAMINIWA NA KAUNTI

Mkufunzi mkuu wa klabu ya Vihiga Bullets George Owoko ametoa wito kwa wahisani kusaidia klabu hiyo ya ligi kuu nchini Kenya kipindi hiki ambacho klabu hiyo inapitia kipindi kigumu kifedha. Ukosefu wa udhamini bado unasalia kuwa saratani katika soka la Kenya na mkufunzi huyo ameomba shirikisho la soka pia kuwapiga shime ili kushiriki mechi zote […]

KLABU YA VIHIGA BULLETS MASAIBU TELE LICHA YA KUDHAMINIWA NA KAUNTI Read More »

TUTALETA VIFAA VYA MICHEZO MASHINANI – JACINTA MBEYU

Rais wa bunge la vijana katika kaunti ya Kilifi Jacinta Mbeyu ametoa hakikisho kwamba bunge la kaunti hiyo linalenga kutengeneza klabu ya mpira ya kaunti ambayo itawakilisha kaunti nzima katika mashindano mbalimbali ya soka. Kulingana na Mbeyu ni kuwa wizara ya michezo pamoja na mkurugenzi mkuu wa michezo katika kaunti hii wameanza mchakato wakuwinda talanta

TUTALETA VIFAA VYA MICHEZO MASHINANI – JACINTA MBEYU Read More »

NIGER NA MADAGASCAR KUTIFUANA USIKU WA LEO, KUTAFUTA MSHINDI WA TATU NA NNE

Mechi ya kutafuta msindi wa tatu na wanne katika mashindano ya mataifa bingwa Afrika maarufu kama CHAN itakuwa inarindimwa  usiku wa wa leo ambapo timu ya taifa ya Madagascar itakuwa inashuka dimbani dhidi ya Niger saa nne usiku. Fainali za mashindano hayo zitakuwa zinachezwa kesho ambapo timu ya taifa ya Algeria, waandaaji wa mashindano haya

NIGER NA MADAGASCAR KUTIFUANA USIKU WA LEO, KUTAFUTA MSHINDI WA TATU NA NNE Read More »