Janet Mumbi

WAHALIFU WANAOWATATIZA WAHUDUMU WA BODABODA ENEO LA SHIMBA HILLS WAONYWA

Idara ya usalama eneo bunge la Shimba hills kaunti ya Kwale limewaonya wahalifu wanaotatiza  usalama wa wahudumu wa bodaboda katika baadhi ya maeneo ya eneo bunge Hilo hususan nyakati za usiku. Akizungumza akiwa eneo la Kizibe naibu kamishna wa eneo bunge hilo Moses Karwigi amesema asasi za usalama zinashika doria pia kuchunguza na kuwasaka wahalifu […]

WAHALIFU WANAOWATATIZA WAHUDUMU WA BODABODA ENEO LA SHIMBA HILLS WAONYWA Read More »

WAZAZI KAUNTI YA TAITA TAVETA WAHIMIZWA KUWAPELEKA WATOTO WAO SHULENI

Wito umetolewa Kwa wazazi wote katika kaunti ya Taita Taveta hususan walio na watoto wanaojiunga na gredi ya Saba Kwa masomo ya sekondari msingi kuwapeleka shuleni. Haya ni Kwa mjibu wa mwenyeketi wa muungano wa wazazi Kaunti ya Taita Taveta Elius Mberi ambaye amesistiza Kuwa masomo hayo ni bure na kila mtoto nchini anapaswa kuhudhuria

WAZAZI KAUNTI YA TAITA TAVETA WAHIMIZWA KUWAPELEKA WATOTO WAO SHULENI Read More »

JAMII YA WAPEMBA KAUNTI YA KWALE YAMPONGEZA RAIS RUTO

Jamii ya Wapemba inayoishi kaunti ya Kwale imempongeza rais William Samoei Ruto kwa kuidhinisha rasmi uraia wao wa Kenya kupitia gazeti rasmi la serikali. Wakiongozwa na mwenyekiti wao Hamisi Makame, jamii hiyo ambayo imekuwa ikiishi nchini kwa miaka mingi imeeleza kufurahishwa na agizo la rais la kutaka jamii hiyo itambuliwe kuwa miongoni mwa makabila ya

JAMII YA WAPEMBA KAUNTI YA KWALE YAMPONGEZA RAIS RUTO Read More »