Paps Mkare

KLABU YA VIHIGA YAPIGWA NA AFC LEOPARDS, MKUFUNZI GEORGE OWOKO ALALAMA

Mabingwa mara 12 wa ligi kuu ya KPL, AFC Leopards jana walisajili ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Vihiga Bullets katika uwanja wa Nyayo. Bao hilo moja na la ushindi katika mtanange huo lilifungwa na Maxwell Otieno kunako dakika ya tano na kuwafanya chui hao wanaoongozwa na mkufunzi Patrick Aussems kuvuna ushindi huo. Matokeo ya

KLABU YA VIHIGA YAPIGWA NA AFC LEOPARDS, MKUFUNZI GEORGE OWOKO ALALAMA Read More »