ELIUD KIPCHOGE KUENZIWA NA SERIKALI ELDORET
Serikali ya kenya imetangaza rasmi mipango ya kujenga makavazi ya kumuenzi bingwa wa riadha za dunia Eliud Kipchoge katika mji wa Eldoret kaunti ya Uasin Gishu. Kulingana na katibu mkuu wa Wizara ya michezo Ummi Bashir ni kwamba makavazi hayo yatapewa jina la Museum 159 kutokana na ushindi wa kihistoria wa Eliud Kipchoge wa Ineos […]
ELIUD KIPCHOGE KUENZIWA NA SERIKALI ELDORET Read More »



