Paps Mkare

MAAMUZI YA VAR SASA KUWEKWA PARAWANJA

Shirikisho la soka duniani Fifa limetangaza kwamba sasa marefa watakuwa wanatangaza moja kwa moja matokeo ya maamuzi ya VAR kwa mashabiki uwanjani. Kulingana na rais wa fifa Gianni Infantino ni kwamba utaratibu utasaidia kupunguza taharuki inayotokana na mashabiki kutoelewa maamuzi ya refa uwanjani na sasa mawasiliano yanafaa kufanyika parawanja. Ni hatua ambayo awali ilikuwa imeungwa […]

MAAMUZI YA VAR SASA KUWEKWA PARAWANJA Read More »

VIJANA WENYE UMRI MDOGO KAUNTI YA MOMBASA WANAJIHUSISHA NA VISA VYA UHALIFU

Naibu Kamishna wa kaunti ya Mombasa Ronald Mwiwawi amesema vijana wadogo kwenye kaunti wamekuwa wakijihusisha na visa vya Uhalifu. Kulingana na Mwiwawi Kumechipuka magenge ya kihalifu ambayo yanawahusisha vijana wadogo katika kaunti hiyo hali ambayo amesema inawasababisha kuacha masomo. Amesema watoto hao ni wenye umri wa miaka 10 hadi 12 na kusema wanapaswa kuwa shuleni

VIJANA WENYE UMRI MDOGO KAUNTI YA MOMBASA WANAJIHUSISHA NA VISA VYA UHALIFU Read More »

UGAVI WA CHAKULA CHA MSAADA WAANZISHWA NA SERIKALI YA KAUNTI YA KWALE

Serikali ya kaunti ya Kwale imeanzisha ugavi wa chakula cha msaada kwa watu wenye uatilifu, wajane na mayatima. Ni hatua ambayo inajiri wakati ambapo baa la njaa linaendelea kuwakabili takribani wenyeji laki 2 katika kaunti ya Kwale kutokana na ukosefu wa mvua kwa muda mrefu. Mwakilishi wa kike kaunti ya Kwale Fatuma Masito na mshirikishi

UGAVI WA CHAKULA CHA MSAADA WAANZISHWA NA SERIKALI YA KAUNTI YA KWALE Read More »