AHMED KOMBO AHMED AELEZA KURIDHISHWA NA HATUA ZIMEPIGWA KUFANIKISHA MTAALA WA CBC
Naibu katibu wa muungano wa walimu KNUT tawi la Mombasa Ahmed Kombo Ahmed ameeleza kuridhishwa na hatua na mikakati iliyoko katika utekelezaji wa mtaala wa umilisi wa CBC hadi kufikia sasa tangu kuanzishwa nchini. Akizungumza na wanahabari Kombo amesema wazazi wanapaswa kuthamini mtaala huo na pia kujukumika katika kuwatimizia mahitaji mbalimbali ya watoto wao ili […]
AHMED KOMBO AHMED AELEZA KURIDHISHWA NA HATUA ZIMEPIGWA KUFANIKISHA MTAALA WA CBC Read More »



