CHARLES OKERE KUENDELEA NA MAJUKUMU YAKE YA KITAIFA
Doris Petra ambaye ni naibu rais wa shirikisho la soka nchini kenya amethibitisha bayana kwamba Charles Okeree ataendelea kuwa mkufunzi mkuu wa timu ya taifa ya kina dada ya Harambe Starlets. Hii ni kufuatia kuibuka kwa sintofahamu baada ya kamati ya mpito iliyokuwa chini ya waziri amina Mohamed kumfuta Okere na kumtwika majukumu Alex Alumira […]
CHARLES OKERE KUENDELEA NA MAJUKUMU YAKE YA KITAIFA Read More »



