KIWANDA CHA MAZIWA CHA KCC ENEO LA MIRITINI KUIMARISHWA
Serikali kupitia wizara ya vyama vya ushirika na biashara nchini inapanga kupanua kiwanda cha maziwa cha KCC eneo la Miritini kaunti ya Mombasa na kukifanya kuwa kiwanda bora cha maziwa. Haya ni kwa mjibu wa waziri katika wizara hiyo nchini Simon Chelugui akizungumza katika kikao na gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir na kusema […]
KIWANDA CHA MAZIWA CHA KCC ENEO LA MIRITINI KUIMARISHWA Read More »



