ABBAS KUNYO ASEMA HAZINA YA KARO YA WADI YA SHILINGI MILIONI 150 HAITAFUTILIWA MBALI KAUNTI YA TANA RIVER
Waziri wa elimu, Jinsia na Michezo kaunti ya Tana River Abbas Kunyo amesema hazina ya karo ya wadi ya shilingi milioni 150 kwa mwaka haitafutiliwa mbali licha ya kuwepo kwa mchakato wa kuanzisha hazina nyingine ya GOVERNORS SCHOLARSHIP. Kunyo amesema lengo la hazina ya Gavana inapania kupiga jeki utoaji wa karo kwa wanafunzi ambao wanafanya […]



