WANAWAKE MJINI MALINDI WAHIMIZWA KUFIKA KWENYE VITUO VYA AFYA KUJIFUNGUA
Wanawake eneo bunge la Malindi na kaunti ya Kilifi kwa jumla, wametakiwa kuhakikisha wanajifungua katika vituo vya afya, kama njia mojawapo ya kujilinda dhidi ya athari ambazo huenda zikawakumba wakati wanapojifungua majumbani. Haya ni kwa mujibu wa afisa wa afya ya umma katika eneo la Malindi kaunti ya Kilifi, Thomas Kiboni ambaye amesema idadi kubwa […]
WANAWAKE MJINI MALINDI WAHIMIZWA KUFIKA KWENYE VITUO VYA AFYA KUJIFUNGUA Read More »



