MIKAKATI INAENDELEZWA KAUNTI YA LAMU KUBORESHA USALAMA
Naibu Kamishna wa kaunti ya Lamu Charlse Kitheka amesema mikakati thabiti imeanzishwa na asasi za usalama katika kaunti hiyo ili kuongeza maafisa wa ziada, NPR katika sehemu mbalimbali za kaunti ya Lamu ili kusaidiana na wanajeshi wa KDF pamoja na vitengo vingine vya usalama kuimarisha usalama. Kulingana na Kitheka maafisa hao wa NPR watatumwa kwenye […]
MIKAKATI INAENDELEZWA KAUNTI YA LAMU KUBORESHA USALAMA Read More »



