Janet Mumbi

WANAFUNZI WANAOTOKA KATIKA SHULE ZA MITAA YA MABANDA KAUNTI YA MOMBASA KUNUFAIKA NA UFADHILI WA MASOMO

Ni afueni kwa baadhi ya wanafunzi wanatoka katika shule za mitaa ya mabanda kaunti ya Mombasa baada ya seneta mteule kaunti hiyo Mirajj Abdillahi kuzindua hazina ya ufadhili wa masomo ya masomo ya sekondari kwa wanafunzi hao. Seneta hiyo amesema kuwa wanafunzi waliopata alama 350 na zaidi ndiyo walengwa wakuu wa mapango huo pamoja na […]

WANAFUNZI WANAOTOKA KATIKA SHULE ZA MITAA YA MABANDA KAUNTI YA MOMBASA KUNUFAIKA NA UFADHILI WA MASOMO Read More »

UJENZI WA KITUO CHA MATIBABU YA UGONJWA WA SARATANI KUANZISHWAKAUNTI YA TAITA TAVETA

Serikali ya kaunti ya Taita Taveta imeanzisha rasmi ujenzi wa kituo cha matibabu ya ugonjwa wa Saratani. Kulingana na Gavana wa kaunti hiyo Andrew Mwadime, ni kuwa ujenzi wa jumba la kisasa ambalo litatumika kama kituo cha afya cha ugonjwa huo, litajengwa kwa takriban siku 150 na kukamilishwa. Akizungumza na wananchi katika kaunti hiyo, gavana

UJENZI WA KITUO CHA MATIBABU YA UGONJWA WA SARATANI KUANZISHWAKAUNTI YA TAITA TAVETA Read More »

TATIZO LA UHABA WA MAJI ENEO BUNGE LA MAGARINI KAUNTI YA KILIFI KUPATA SULUHU LA KUDUMU

Huenda matatizo ya uhaba wa maji katika eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi yakapata suluhu la kudumu. Hii ni baada ya wizara ya maji katika kaunti Kilifi kutekeleza zoezi la kutathmini chanzo cha tatizo hilo na jinsi linaweza kutetuliwa kwa haraka na kuongeza kuwa watatoa ripoti kamili kuhusiana na zoezi hilo hivi karibuni. Kwa

TATIZO LA UHABA WA MAJI ENEO BUNGE LA MAGARINI KAUNTI YA KILIFI KUPATA SULUHU LA KUDUMU Read More »