SERIKALI ZA KAUNTI ZAATHIRIKA NA KUCHELEWESHWA MGAO FEDHA KUTOKA HAZINA YA KITAIFA.
Maandamano ya kizazi cha Gen Z, yaliyoshuhudiwa humu nchini mwaka jana 2024, yalichangia pakubwa kwa baadhi ya serikali za kaunti, kushindwa kufanya maendeleo, kama ilivyosema ripoti ya mkaguzi wa bajeti Magaret Nyakang’o . Kulingama na Naibu gavana wa kaunti ya Lamu, Mbarak Bahjaj serikali ya kitaifa ilichelewa kusambaza fedha kwa serikali za kaunti, ikiwemo ile […]
SERIKALI ZA KAUNTI ZAATHIRIKA NA KUCHELEWESHWA MGAO FEDHA KUTOKA HAZINA YA KITAIFA. Read More »



