ABABU NAMWAMBA AMUAGIZA MKAGUZI MKUU KUFANYA UCHUNGUZI WA MIRADI
Mkaguzi mkuu wa wizara ya michezo katika serikali kuu Nancy Gathungu amemhakikishia waziri Ababu Namwamba kwamba atatimiza agizo lake ya kufanya uchunguzi kuhusu miradi mbali mbali iliyofeli licha ya hela ndefu kuwekezwa na serikali katika miaka mitano iliyopita. Haya yanajiri baada ya waziri namwamba kutembelea miradi mbali mbali ambayo kulingana na taarifa walizonazo kuliwekzwa hela […]
ABABU NAMWAMBA AMUAGIZA MKAGUZI MKUU KUFANYA UCHUNGUZI WA MIRADI Read More »



