HUDUMA ZA AFYA KAUNTI YA MOMABASA HUENDA ZIKAIMARIKA
Huduma za afya kwenye kaunti ya Mombasa zinatarajiwa kuimarika hata Zaidi hususan maeneo ya mashinani. Hii ni baada ya jopo kazi linalohusika na masuala ya afya kaunti ya Mombasa kutoa ripoti ya mapendekezo jinsi itakavyoboresha sekta hiyo. Akizungumza alipokuwa anatoa ripoti hiyo, mwenyekiti wa jopo hilo Chibanzi Mwachonda amesema wametenga baadhi ya Hospitali zitakazotoa huduma […]
HUDUMA ZA AFYA KAUNTI YA MOMABASA HUENDA ZIKAIMARIKA Read More »



