JUMLA YA WANAFUNZI 109 KATIKA SHULE ZA UPILI KAUNTI YA KILIFI WANUFAIKA NA MASOMO YA DINI
Jumla ya wanafunzi 109 katika shule za upili kaunti ya Kilifi wamenufaika na masomo ya dini, katika kongamano la wanafunzi wa dini ya kikristo la Rafiki Wa Yesu Youth Camp, lililofanyika jana katika shule ya upili ya wavulana ya Gede, na kufadhiliwa na kituo cha habari cha Lulu fm. Kulingana na mwenyekiti wa kamati ya […]



