HABARI

VIONGOZI WASHAURIWA KUPIGA JEKI VILABU VYA MASHINANI

Ipo haja ya viongozi waliochaguliwa kuwakilisha sehemu mbalimbali katika mkoa huu wa pwani kuingilia kati michezo mashinani ili kuokoa vipaji ambavyo huenda vikawa manufaa kwa jamii katika siku za usoni. Hii ni kulingana na Peter Mole mkufunzi mkuu wa Beach Bay ambayo inashiriki katika ligi ya daraja la pili kitaifa na amekariri kwamba ukata wa […]

VIONGOZI WASHAURIWA KUPIGA JEKI VILABU VYA MASHINANI Read More »

BADI TWALIB ATAKA NAFASI ZA KAZI KUTOKA SERIKALI KUU KUPEWA KWANZA VIJANA WA JOMVU

Mbunge wa Jomvu kaunti ya Mombasa Badi Twalib anataka nafasi za ajira katika miradi mbalimbali kwenye serikali kuu zipatiwe kwanza vijana wa eneo bunge hilo. Kulingana na Twalib lazima vijana wa eneo bunge hilo wapewe kipaumbele kwenye masuala ya ajira ili waweze kujiendeleza kimaisha. Amesema miradi kama wa Dongo Kundu na wa Reli ya Kisasa

BADI TWALIB ATAKA NAFASI ZA KAZI KUTOKA SERIKALI KUU KUPEWA KWANZA VIJANA WA JOMVU Read More »

SHEIKH JUMA NGAO AITAKA SERIKALI KUINGILIA KATI NA KUTATUA LALAMA ZINAZOIBULIWA KUHUSU SGR

Mwenyekiti wa baraza kuu la ushauri kwa Waislamu nchini KEMNAC Sheikh Juma Ngao ametoa wito kwa serikali kuingilia kati madai kuwa abiria wanaokabiliwa na dharura na kushindwa kusafiri kuwa hawawezi kurudishiwa nauli zao na usimamizi wa shirika la reli ya kisasa la SGR. Sheikh Juma Ngao amesema baadhi ya abiria wamekuwa wakilalamikia hilo na kuitaja

SHEIKH JUMA NGAO AITAKA SERIKALI KUINGILIA KATI NA KUTATUA LALAMA ZINAZOIBULIWA KUHUSU SGR Read More »