KAUNTI YA LAMU INAKABILIWA NA CHANGAMOTO ZA KIFEDHA ZA KUFADHILI WANAFUNZI
Naibu gavana wa kaunti ya Lamu Raphael Munyua amesema serikali ya kaunti hiyo inakabiliwa na changamoto za kifedha za kufadhili wanafunzi katika kaunti hiyo. Munyua amesema changamoto hiyo imechangiwa na mabadiliko ya kalenda ya elimu nchini tangu mwaka wa 2020 wakati wa janga la Virusi vya Corona nchini. Aidha, amesema serikali ya kaunti ya Lamu […]
KAUNTI YA LAMU INAKABILIWA NA CHANGAMOTO ZA KIFEDHA ZA KUFADHILI WANAFUNZI Read More »



