LIGI YA RABAI KUANZA RASMI MWISHONI MWA JANUARI 2023
Ligi ya FKF eneo bunge la Rabai kaunti ya kilifi huenda ikaanza rasmi mwishoni mwa mwezi huu wa januari. Hii ni kulingana na katibu wa soka tawi la eneo bunge hilo John Barisa wakati akizungumza na tama la spoti mchana wa leo kupitia nja ya simu. Ameeleza kwamba msimu ujao wa mwaka 2022/2023 umevutia vilabu […]
LIGI YA RABAI KUANZA RASMI MWISHONI MWA JANUARI 2023 Read More »



