HABARI

BENJAMIN DALU TAYARI ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA KPA

Aliyekuwa mbunge wa eneo bunge la Kinango kaunti ya Kwale Benjamin Dalu Tayari ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya bandarini nchini KPA. Katika taarifa kwenye gazeti rasmi la serikali waziri wa barabara na uchukuzi nchini Kipchumba Murkomen amemteua Benjamini Dalu Tayari kwenye wadhifa huo kwa muda wa miaka 3. Anachukua wadhifa […]

BENJAMIN DALU TAYARI ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA KPA Read More »

MESSI NA MBAPPE WAORODHESHWA KATIKA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA WA FIFA

Bingwa wa mashindano ya kombe la dunia Lionel Messi pamoja na mwenzake wa Paris SG Kylian Mbappe wamewekwa katika orodha washindani wa tuzo la mchezaji bora wa mwaka 2022 na shirikisho la soka duniani fifa. Messi ambaye ashawahi shinda tuzo hiyo awali, mwaka jana aliisaidia timu yake ya argentina kuwania ubingwa wa kombe la dunia 

MESSI NA MBAPPE WAORODHESHWA KATIKA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA WA FIFA Read More »