VISA VYA UKEKETAJI VINGALI VINAENDELEZWA KWENYE KAUNTI YA LAMU
Afisa wa nyanjani wa shirika la kijamii la KIUNGA YOUTH BUNGE kaunti ya Lamu Moses Maina amethibitisha kuwa wameanzisha kampeni dhidi ya ukeketaji katika sehemu za mashinani kaunti ya Lamu. Maina amesema wamechukua hatua hiyo kutokana na kile ambacho anadai kuchangiwa na ongezeko la visa vya ukeketaji na dhuluma za kijinsia katika kaunti hiyo. Aidha, […]
VISA VYA UKEKETAJI VINGALI VINAENDELEZWA KWENYE KAUNTI YA LAMU Read More »



